Afariki ajalini akielekea kuchukua fomu za kuwania Ubunge Njombe


Conrad Mtenga aliyekuwa na cheo cha Mkaguzi wa Kanda (Zonal Inspector) wa TAKUKURU ametaarifiwa kuapata ajali na kufariki dunia akiwa njiani kwenda Njombe kutangaza nia ya kuwania Ubunge.

Taarifa zinasema kuwa gari hilo liligongana uso kwa uso na lori aina ya Scania.

Familia yote imelazwa ICU (mke na watoto). Amefariki yeye mwenyewe na meneja wake wa kampeni. 


Taarifa hii imenukuliwa kutoka kwenye blogu ya GSengo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo