Ukweli kuhusu kufariki Askari baada ya kugongwa na gari lililokataa kusimama Arusha

Ilitokea taarifa Arusha kwamba kuna gari lilisimamishwa na Askari wa usalama barabarani lakini likakataa kusimama na baadae likawagonga kwa Makusudi Askari hao ambapo baadhi yao walipoteza maisha.
Kamanda wa Polisi Arusha Liberatus Sabas amethibitisha yafuatayo >>> ‘Gari letu liligongwa lakini sio kwamba Walilisimamisha, huyo Dereva ndio aliacha barabara upande wake na akaifata gari ya Polisi na kuigonga, hakuna Askari yeyote aliyefariki
ajali 2
ajali 3


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo