Rais
Jakaya Mrisho kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo
alipokwenda kutoa pole na kuifariji familia ya Mbunge wa Mbinga
Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Marehemu Kepteni John
Komba aliyefariki dunia juzi, nyumbani kwa marehemu Mbezi kwa Komba
jijini Dar es salaam jana March 1, 2015.
Rais
Jakaya Mrisho kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo
alipokwenda yeye na Mama Salma Kikwete kutoa pole na kuifariji familia
ya Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia nyumbani kwa marehemu
Mbezi kwa Komba jijini Dar es salaam March 1, 2015.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo
walipokwenda kutoa pole na kuifariji familia ya Mbunge wa Mbinga
Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Marehemu Kepteni John
Komba aliyefariki dunia, nyumbani kwa marehemu Mbezi kwa Komba
jijini Dar es salaam March 1, 2015.
Rais
Jakaya Mrisho kikwete na mkewe Mama Salma kikwete wakimfariji familia
ya Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia, nyumbani kwa
marehemu Mbezi kwa Komba jijini Dar es salaam March 1, 2015.
Fedrick
Sumaye akimpa pole mfiwa mke wa Marehemu bi Salome John Komba.Mbunge wa
Jimbo wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiandika katika kitabu cha
maombolezo.
Rais
Jakaya Mrisho kikwete na mkewe Mama Salma kikwete wakiwafariji wasanii
wa Tanzania One Theatre kufuatia kifo cha kiongozi wao, Mbunge wa
Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Marehemu Kepteni
John Komba aliyefariki dunia, nyumbani kwa marehemu Mbezi kwa Komba
jijini Dar es salaam March 1, 2015.
Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda(kushoto)akimpa
pole Hadija Kopa msanii wa Taarabu nyumbani kwa kapteni Komba.
Katibu
uenezi wa Itikadi chama cha CCM Nape Nauye akiwapa mkono wa pole
wasanii wa bendi ya (TOT) ya Marehemu Kapteni John Komba aliyokuwa
akiimbia.
Dr. Jakaya Kikwete akiwa msibani kwa Marehemu John Komba-Mbezi Tangi bovu.
Waombolezaji wakiwa msibani
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa, akisalimiana na Asha Baraka msibani hapo.