Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za
mwisho kwa Marehemu Esther Gigwa Hosea, Mama Mzazi wa Mkurugenzi Nkuu wa
TAKUKURU, Dkt Edward Hosea huko Masaki jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimfariji Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward Hosea Msaki jijini Dar es salaam
walipofika heshima zao za mwisho kwa mama yake mzazi Marehemu Esther
Gigwa Hosea huko Masaki jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete pamoja na Makamu wa
Rais Dkt Mohamed GhariB Bilali, Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue
wakiwa pamoja na wafiwa wakati wa kuaga mwili wa Marehemu EstherGigwa
Hosea, Mama Mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward Hosea huko
Masaki jijini Dar es salaam.
Sehemu
ya wafiwa na waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Esther
Gigwa Hosea, Mama Mzazi wa Mkurugenzi Nkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward Hosea
huko Masaki jijini Dar es salaam.Picha na IKULU