P-Square wakikubali kipaji cha Joti Mdebwedo, watamani kucheza kama yeye!


P-Square wanaweza kumtafuta Joti siku yoyote kuanzia mwaka huu.

Hiyo ni baada ya mmoja wa mapacha hao maarufu zaidi Afrika, Paul Okoye kupost kipande kifupi cha Joti akicheza wimbo wa Koffie Olomide kwa style iliyomvutia. 
 
Paul ameipata video hiyo kutoka kwenye akaunti ya Instagram iitwayo ‘Nigeriagirlskillingit’.

“Hahahahahaha i can’t wait for psquare to start dancing like this,” ameandika Paul na kuambatisha na emoji zinazocheka hadi machozi.
 
Kwa utani utani hivyo Joti anaweza kuwa amejipatia mashabiki wapya kutoka Nigeria.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo