Waziri
wa jumuiya ya afrika mashariki mh Dk Harrson Mwakyembe na ambaye
mwenyekiti wa baraza la mawaziri wa jumuiya hiyohiyo amesema wamepokea
maombi ya nchi ya somalia kutaka kujiunga na jumuiya hiyo na hivyo kwa
sasa wapo katika hatua za kuona kama wanasifa za kujiunga na jumuiya
hiyo.
Mh Mwakyembe ameyasema hayo alipkuwa akizungumza na waandishia wa
habari kuhusu sughuli mbalimbali za jumuiya hiyo na nafasi aliyopita
rais Jakaya Kikwete kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo.