skip to main |
skip to sidebar
RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA SHEIKH ALI MZEE KOMORIAN KARIAKOO, DAR ES SALAAM
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Sheikh
Ali Mzee alipokwenda kuhani msiba huo jana Jumapili Desemba 29, 2014.
Marehemu Sheikh Komorian alifariki juzi Jumamosi Desemba 28, 2014 na kuzikwa Jumatatu Desemba 29, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Sheikh
Ali Mzee alipokwenda kuhani msiba huo jana Jumapili Desemba 29, 2014.
Marehemu Sheikh Komorian alifariki juzi Jumamosi Desemba 28, 2014 na kuzikwa Jumatatu Desemba 29, 2014
:Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika dua na familia ya
Marehemu Sheikh Ali Mzee alipokwenda kuhani msiba huo jana Jumapili
Desemba 29, 2014. Marehemu Sheikh Komorian
alifariki juzi Jumamosi Desemba 28, 2014 na kuzikwa jana Jumatatu
Desemba 29, 2014
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi