skip to main |
skip to sidebar
PICHA ZA MAZISHI YA MSANII WA TMK WANAUME FAMILY YP MAKABURI YA CHANG'OMBE
Maombolezaji wakiwa wamebeba jeneza kwenda makaburini.
Sehemu ya mamia ya waombolezaji wakiwa makaburini.
Waombolezaji wakiwa wamebeba bango lenye picha ya marehemu.
Jeneza likishushwa kaburini.
MSANII WA TMK WANAUME FAMILY,
Yesaya Ambikile 'YP' aliyefariki usiku wa kuamkia janai, amezikwa leo
katika makaburi ya Chang’ombe maduka mawili jijini Dar jioni hii.
PICHA NA GPL
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi