Baada ya msanii huyo kujisalimisha, alihojiwa kwa masaa kadhaa kisha akaachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZ kituoni hapo.
Picha za tukio hilo hizi hapa chini
diamond akiwa na Chief Kiumbe wakitoka kituo cha polisi Osterbey baada ya kuhojiwa na kuachiwa kwa dhamana
picha zote kwa mujibu wa tovuti ya bongo5