Mwili wa marehemu Amin Elias Mbaga aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya TTCL ukiingizwa kanisani. Mwili wa marehemu Amin Elias Mbaga aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya TTCL ukiingizwa kanisani. Mke na Watoto wa Marehemu Amin Elias Mbaga wakiwa katika ibada hiyo
Mwili wa marehemu Amin Elias Mbaga aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya
TTCL ikiombewa kabla ya kusafirishwa kuelekea Mkoani Kilimanjaro kwa
mazishi.
MWILI WA MAREHEMU AMIN MBAGA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA TTCL WAAGWA JIJINI DAR
By
Edmo Online
at
Thursday, October 16, 2014