******
Mwanajeshi wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki
iliyopita akimtuhumu kumsumbua mkewe wakati wakiwa baa, Octavian Maurus Gowele amefikishwa mahakama ya wilaya Temeke
leo akishtakiwa kwa mauaji.
Mwanajeshi huyo amekana shitaka hilo na kesi yake imeahirishwa mpaka Novemba 4, 2014.
Mwanajeshi huyo amekana shitaka hilo na kesi yake imeahirishwa mpaka Novemba 4, 2014.
Komando wa JWTZ anayetuhumiwa kuua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus.