Mkuu
wa kitengo cha habari Wilaya, Mh Shido ambae pia ni Mwenyekiti wa Mtaa
Utemini Kata ya Mirongo amejeruhiwa na kupelekwa Hospitali ya Rufaa
Bugando.
Habari zinasema msafara wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na
Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamadi umepata ajali ukihusisha magari
mawili ya msafara wa kiongozi huyo ambayo jumla yake yalikuwa saba
yalipogongana na lori lenye tela.
Akizungumza na mtandao huu, Mkurughenzi wa Habari wa CUf, Adam Kambaya alisema Viongozi wawili wa CUF, katibu wa wilaya ya Nyamagana na mwenyekiti wa mtaa wa Nyamagana ambao hakuwataja majina wamelazwa katika Hospitali ya Bugando kwa matibabu zaidi.
Akizungumza na mtandao huu, Mkurughenzi wa Habari wa CUf, Adam Kambaya alisema Viongozi wawili wa CUF, katibu wa wilaya ya Nyamagana na mwenyekiti wa mtaa wa Nyamagana ambao hakuwataja majina wamelazwa katika Hospitali ya Bugando kwa matibabu zaidi.
Picha: Global Publishers