Maafisa wa jeshi la Polisi wilaya ya Kahama wakiwa katika eneo la tukio katika kwaajili ya kuuchukua mwili wa Marehemu.
Inasemekana watuhumiwa
hao walivamia chumba ya mkazi mmoja wa mtaa wa Muhungula Kahama na
kujeruhi kwa mapanga watoto wawili ussiku wa kuamkia leo.
Endelea kufatilia mtandao huu na muda si mrefu tutawaletea taarifa Kamili.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi