![]() | ||
Mbunge
wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge
Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma,
Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje
kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari
kushiriki vikao vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014
|
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JULAI 24,2025
30 minutes ago