Kisa cha mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini aliyevua nguo zote na kubaki Uchi kama alivyozaliwa na kusimama mbele ya sanamu kubwa ya hayati Nelson Mandela, kimewaacha wapita njia na majirani waliokuwepo karibu na eneo hilo midomo wazi.
Kwa
mujibu wa gazeti la Star, Jumatatu mchana ya wiki iliyopita mwanamke
huyo ambaye hakufahamika alifika eneo la Sandton, Johannesburg ilipo
sanamu hiyo akiwa amevaa vizuri.
Ghafla akafanya kama ambavyo hufanya wakati wa kuoga, alitoa nguo zote na kusimama mbele ya sanamu hiyo na kuwapa watu onesho la bure huku wengine wakichukua picha na video exclusive za kupost katika mitandao ya kijamii.
Ghafla akafanya kama ambavyo hufanya wakati wa kuoga, alitoa nguo zote na kusimama mbele ya sanamu hiyo na kuwapa watu onesho la bure huku wengine wakichukua picha na video exclusive za kupost katika mitandao ya kijamii.
Hata
hivyo mwanamke huyo alipomaliza kufanya alichokuwa anakifanya (ambacho
hakijulikani) alivaa nguo zake moja baada ya nyingine tena taratibu kama
yuko chumbani kwake na kuondoka huku watu wakimshangaa.