"MASHOGA" WAGOMBANA MBAYA NA KUZUA KASHESHE MWANANYAMALA JIJINI DAR

Mara nyingi stori za marafiki wakike zinapotoka huwa ni zile ambazo wametofautiana kwa sababu ambazo kama ukipata nafasi ya kuzifahamu huwa hazipishani sana,utasikia huyu kanitolea siri yangu au huyu kaniharibia kwa boy friend wangu.

August 27 Idara ya Hekaheka ina stori nyingine kutoka Mwananyamala Dar es salaam ni kuhusu marafiki wa kike ‘Mashoga’ ambao wamegombana kiasi cha kupelekeana mdundiko wakati wa kumfata huyo rafiki yake.

Gea Habib yupo hapa kwa ajili ya kukufahamisha kila kinachotokea kwenye idara hii ya Hekaheka,ungana nae hapa.

Bonyeza play kusikiliza.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo