BOSI KASHAFANYA YAKE ARUSHA, BINTI ACHOMWA SEHEMU ZA SIRI KISA KAKOJOA KITANDANI!!!!!!

SAMAHANI KWA PICHA!!
Habari zilizonifikia ni kwamba huko mkoani Arusha #mfanyakaziwakazizanyumbani amechomwa moto na bosi wake kwa kosa la kukojoa kitandani......
 
Huu unyanyasani ni kwa nini unaota mapembe siku hadi siku????? kuna siri gani ipo ndani yake??????? Watawala wa nchi hii wapo kimya na wanaosimamia sheria pia wapo kimya.....tukimbilie wapi?????
Huu ndo ujumbe nilopokea toka kwa mdau.... jamani anaomba sana mfatilie mliopo Arusha ili tutokomeze #unyanyasaji kwa wafanyakazi wetu wa majumbani.....


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo