BREAKING NEWS: BINTI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKIWA NA JABALI WAKATI AKICHIMBA KOKOTO WILAYANI KAHAMA

Habari kutoka Kahama mkoani Shinyanga zinasema kuwa binti  aliyefahamika kwa jina la Lucia Bahati (25)amefariki dunia,inasemekana alikuwa akichimba kokoto ambazo ni masalia ya kokoto zilizokuwa zikitengenezwa kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za lami wilayani Kahama.

Taarifa kamili ya tukio hilo itawajia hivi punde.....


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo