PICHA NYINGINE 8 ZA AJALI YA DALADALA INAYOSADIKIKA KUUA WATU 10 MAKONGO JIJINI DAR



Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.
 
Ajali hiyo imetokea mchana  JANA eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta ndio uliosababisha ajali hiyo kwani alipita upande usio wake.
 
 
 
 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo