Staa wa Bongo Fleva,Hamis Baba 'H Baba' akiwa amelazwa siku ya jana baada ya kukimbizwa hospitali.
STAA wa Bongo Fleva,Hamis Baba ameugua ghafla jana baada ya kuanguka wakati
akijiandaa kwenda kuaga mwili wa aliyekuwa muandaaji wa filamu za
Kibongo, marehemu Geogre Otieno Tyson katika viwanja vya Leades,
Kinondoni, Dar siku ya jana.
Hamis Baba alisema
kupitia Account yake ya Instagram aliandika hivi… Naumwa sana nilikuwa
najiandaa kwenye kumuaga mwenzetu Tyson nikasikia kizunguzungu
nikaanguka… hapa nipo hospitalini…
