WASAFIRI MIKOA YA KUSINI WAPATA TAABU BAADA YA MAGARI KUKWAMA KWENYE TOPE


Image00005 
Kama hujawahi kusafiri kwenda mikoa ya kusini naomba nikusafirishe kwa picha hizi ambazo zinaonyesha hali ya kipande kibovu kinachowakalisha muda mwingine kwa zaidi ya masaa 10 wasafiri wa mikoa ya kusini hasa inaponyesha mvua ambapo hali ya sehemu hii hua inapitika kwa shida sana.

Kuna kipindi bidhaa hupanda hasa kwa sehemu kama Lindi,Mtwara,Masasi,Nachingwea,Newala,Tandahimba na baadhi ya sehemu ambazo hutegemea barabara hii kusafirishia bidhaa na abiria,hizi ni picha kadhaa zinazoonyesha eneo hili inapotokea barabara inapokua imeharibika.
Image00018
Image00011

CHANZO:MILLARDAYO.COM


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo