skip to main |
skip to sidebar
WANAFUNZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI(SMMUCO) WAFUNGA BARABARA WAKITAKA KULIPWA PESA ZAO ZA MKOPO
Wanafunzi wakiwa katika Makundi mbalimbali katika mgomo huo
Mgomo ukiwa unaendelea huku wakidai pesa zao
Wanafunzi wakiwa wamefunga Njia muda huu
Hapa wakiendelea na madai yao wakiwa ni wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza wa Pili na Watatu
Endelea kufuatilia
Picha na Matukio na wanavyuo
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi