PICHA FEKI ZA RECHO NA MWANAYE WAKIWA KWENYE JENEZA ZAMUONGEZEA MACHUNGU MUMEWE

MCHUMBA ambaye alifikia hadhi ya mume wa mwigizaji marehemu Sheila Haule ‘Recho’, George Sagunda amefunguka kuwa amechukizwa na watu wasiojulikana kuweka picha feki ya marehemu mitandaoni.

Akizungumza na mtandao huu, Saguda alisema muda mchache baada ya mazishi yaliyofanyika wiki hii, watu wasiojulikana waliweka picha ya marehemu akiwa na mwanaye kwenye jeneza kitu ambacho siyo sahihi.

“Imeniuma sana, wamefojifoji picha na kuweka kichanga ambacho siyo chenyewe kisha kuposti katika mitandao wakidai ni marehemu Recho na kichanga chake, wasifanye hivyo jamani…,” alisema Saguda.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo