MBONI MASIMBA YUPO HOI KWA MSIBA WA GEORGE TYSON, ASHINDWA KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Talk Show EATV (Chanel 5) Bi,Mboni Masimba ambaye ndiye aliyeandaa safari hiyo ya Dodoma alishindwa kuzungumza na waandishi wa habari nje ya hositali ya Mkoa wa Morogoro na kuangua kilio jambo lililomlazimu mkuu wa wilaya ya Mvomero Anthony Mtaka kubeba jukumu la kumbembeleza


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo