Mwanafunzi
wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la Atu Gabriel amefariki
akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge.Kwa mujibu wa Kamanda
wa Polisi mkoa wa Pwani (RPC), Orech Mtei, katika kuthibitisha kutokea
kwa tukio hilo, alisema Jumamosi April 26 mwili wa Atu ulikutwa katika
chumba cha mwanaume aliyefahamika kwa jina la Hafidhi ambaye anadaiwa
kuwa mpenzi wake.PICHA YA MSICHANA ALIYEFIA KWA MPENZI WAKE AKIDAIWA KUWA ALIKUWA ANATOA MIMBA
By
Edmo Online
at
Monday, April 28, 2014
Mwanafunzi
wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la Atu Gabriel amefariki
akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge.Kwa mujibu wa Kamanda
wa Polisi mkoa wa Pwani (RPC), Orech Mtei, katika kuthibitisha kutokea
kwa tukio hilo, alisema Jumamosi April 26 mwili wa Atu ulikutwa katika
chumba cha mwanaume aliyefahamika kwa jina la Hafidhi ambaye anadaiwa
kuwa mpenzi wake.