MTU MMOJA AMEUAWA MAENEO YA MBEZI SALASALA

Mtu mmoja ameuawa maeneo ya Mbezi Salasala jijini Dar,kwa mujibu wa shuhuda alisema kuwa mtu huyo alikuwa anaomba msaada majira ya saa kumi alfajiri leo,ambapo kuna watu walikuwa wakimpiga, kumkatakata mapanga na kutaka kumchoma moto,haijajulikana kama alikuwa mwizi au kauawa na vibaka.
 
Source: Clouds Fm


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo