MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MH. MOSHI CHANG'A AFARIKI DUNIA


Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mhe. Moshi Chang'a ( enzi za uhai wake )
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mhe. Moshi Chang'a ( enzi za uhai wake ) akizungumza katika mahafali ya pili ya chuo cha ualimu St. Aggrey Chanji.
=====

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mhe. Moshi Mussa Chang'a  amefariki dunia jioni ya leo katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na Kisukari. 

Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
(Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo