MAZINGIRA HAYA YA KUUZIA NYAMA MAKETE YANAHATARISHA MAISHA YA WATU


Mazingira ya kuuzia nyama (mabucha) katika soko maarufu kama la Bulongwa lililopo kijiji cha kitula hayaridhishi kutokana na kuwepo kwa ufinyu wa kufanya usafi kwenye mazingira hayo, kwa sasa majengo haya unayoyaona kwenye picha hizo hapo juu hutumika kila siku ya gulio ambayo ni Jumamosi, kutokana na mazingira hayo kuwa katika hali ya uchafu ipo hatari ya watumiaji wa nyama kupatwa na magonjwa. (picha na Eddy Blog Team)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo