LAANA: PADRI AIBA FEDHA ZA WATAWA NA KUMHONGA MPENZI WAKE WA KIUME..!!!!

Padre mmoja muitaliano ambaye hakutajwa jina, amekumbwa na mashtaka na fedhea ya kuiba fedha za watawa ili kumpatia mpenzi wake wa kiume kutoka Morocco.

Kiwango cha fedha hizo hakikutajwa ila inakadiriwa kuwa ni maelfu ya Euro ambazo Padre huyo aliaminiwa kuzitunza na watawa hao.

Pesa hizo alizitumia kumhonga mpenzi wake huyo ambaye inaaminika kuwa na mahusiano naye kwa kipindi kirefu sana akishiriki naye mapenzi ya jinsia moja.
 
Imeripotiwa kuwa Padre huyo ameshasimamishwa kuhudumu na Askofu wake.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo