skip to main |
skip to sidebar
JUMUIYA YA WAISLAMU YATOA TAMKO KUHUSU KAULI YA WAZIRI LUKUVI
Waziri William Lukuvi.
Jumuiya ya maiamam Zanzibar imemtaka rais kikwete amwajibishe Lukuvi
kutokana na kauli yake ya kutaka kuidhibiti zanzibar kwakuwa ni nchi
yenye waislam wengi.
Katibu wa jumuia hiyo sheikh Muhidini ameyasema hayo kwenye kongamano kubwa la kiislam kuhusu mchakato wa katiba mpya.
Amesema ni aibu kwa kiongozi wa ccm na serekali kutoa maneno hayo tena
mbele ya kanisa ya kwamba nia ya serekali ya CCM ni kuwadhibti waislam
wa Zanzibar.
Amedai waislam na wakiristo wameishi kwa amani na utulivu kwa miaka
mingi iweje atokee mtu ndani ya ccm ya kutaka kuleta mgawanyo?
Source: ZENJ FM Radio
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi