HIVI NDIVYO TUZO YA RAIS KIKWETE ILIVYOPOKELEWA HUKO WASHINGTON DC JANA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYjxUWxuPVtYn-vyUM2dJ0CegqiDlbKDYSdqL7Ny8U4GwEI2m9z25hM-a3E9_q4dT0l6FCLjbdEP75MxGgC8rDiO4m2tuV0g-fYbX4OaLdfDQOJw_5QPOjskEZofXENUoUrMZON9U5q_6O/s1600/t27.jpgBalozi wa Nigeria nchini Marekani Profesa Adebowele Adufye, akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Bernard Membe Tuzo la Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi Katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa mwaka 2013 anayopokea kwa niaba ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika  sherehe ya kutunuku Tuzo hiyo kwenye Hoteli ya St. Regis mjini Washington, D.C., usiku wa  Jumatano, Aprili 9, 2014. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe Job Ndugai ambaye yuko katika ziara ya kikazi ambapo naye alialikwa kuhudhuria hafla hii
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgC7sCHSSJR98L84QFc_fsVVSg02CeDzmwSOsrzW8PmaL_vGM3mGsH3LOyddx-fEOheXhDx8kijPIRJsjyK3Etakf1VU59x7X-VQtfwSMlAG_06QUrwGzZH1-lD4OaUgMjHrsXdHezUf_Zt/s1600/t28.jpgWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Bernard Membe akifurahia baada ya kupokea Tuzo la Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi Katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa mwaka 2013 kwa niaba ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika  sherehe ya kutunuku Tuzo hiyo kwenye Hoteli ya St. Regis mjini Washington, D.C., usiku wa , Jumatano, Aprili 9, 2014.Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe Job Ndugai ambaye yuko katika ziara ya kikazi ambapo naye alialikwa kuhudhuria hafla hii
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfMnD3S0cL291OsRswVy-T2fc9Vkhyfz478FbeojmOcYZAgxgZa7QjZxkzhIzXm0XlZ0PIKfgUXpmTzZ6EbEh235kss-v_FnUYEFc7bndFuOpIvYHz7yvoU4xR2DUGFJ47eDWf2eq4SzBN/s1600/t29.jpgWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Bernard Membe akimshukuru Balozi wa Nigeria nchini Marekani Profesa Adebowele Adefuye baada ya kupokea Tuzo la Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi Katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa mwaka 2013 anayopokea kwa niaba ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika  sherehe ya kutunuku Tuzo hiyo kwenye Hoteli ya St. Regis mjini Washington, D.C., usiku wa , Jumatano, Aprili 9, 2014.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi_1VpXSJUcwfx8-h6v5EzjepePdumpuD3VkcwvwdUClZbmKWnp9xm0iDVO3jVyS9KrXGsL0GLUQeRSl2C_OcM5Kfg2mlyWhNiVvsnmHSinEb3N2iEuZZEXiGrYp5BXLEm0uALpYEgWIdCe/s1600/t33.jpgBalozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula akifurahia Tuzo la Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi Katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa mwaka 2013 aliyopewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika  sherehe ya kutunuku Tuzo hiyo kwenye Hoteli ya St. Regis mjini Washington, D.C., usiku wa , Jumatano, Aprili 9, 2014.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjC9w-TMravPO-4YXXvUxr71rZmmpUVoQSyfG_Wy7gyC3viUZS90EO1i-iymwnQhNhWLm5aIpQpX2GA_RjQY1YSFbzdqpTBsYQEmK3HyrdphKOKIpFlO3Arovnh-uDcIoN3dwZn3JbvguOM/s1600/t31.jpghttps://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjAZySDF1Gco2JHfaqJrqMVnzUP_cvXbtK1JCoTeNDJkbJK8oKHwGLAn3zPHu12LMk1-rzu_esSXiGpEF2ChV1CrNxPRQ-y5SmDoptURlw1Xq7sgO8tXAOCgFLlmGhOmub3WhsQq5FoS_7j/s1600/t32.jpg
Naibu Spika Mhe Job Ndugai ambaye yuko Washington kwa zaiara ya kikazi akifurahia Tuzo la Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi Katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa mwaka 2013 aliyopewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika  sherehe ya kutunuku Tuzo hiyo kwenye Hoteli ya St. Regis mjini Washington, D.C., usiku wa, Jumatano, Aprili 9, 2014.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEio11yWxSv4fZGz78YCgXh3IYegEeizh7Ln1ZtIhDQJauzBbqHUQW0luQLo21veu2i0JVlmCQrG31qshHtdDal49bE1wByWXGnREXr0ceFfT92lxd0sRAkUOK7p18ygwmAxn3q27B2XvqQr/s1600/t22.jpghttps://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjN_O8u06AfoQ1SoINAWhwdW0FnojoLzM4BGRuHLSXLizyW0TCA9yICrd8vsMNJ1ho9vfYNqEDKCutvfPy16uvsNm6xweRRmxpTqjbOnDIOEQk-pEJeBE3cgPz76xr6HiLMpnIihZa4Lw76/s1600/t40.jpg
Tuzo la Rais Kikwete lakadhibiwa Washington


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo