SIMBA YACHAPWA NA COASTAL UNION UWANJA WA TAIFA

Mpira umemalizika Simba Kuchapwa Bao 1 Dhidi ya Coastal Union Mpira Ulikuwa wa Nguvu na wakushambuliana kwa Zamu.Coastal Union Walipata Goli Kipindi cha kwanza baada ya Kutokea Piga Nikupige Katika Lango La Simba.Simba waliingia Kipindi cha Pili kwa Kufanya mabadiliko walielekeza Mashambulizi Kwenye Lango la Coastal Union lakini Hawakufanikiwa Kupata Goli lolote Hadi Mwisho wa Mchezo Simba 0 Coastal Union 1

.................................................
Kutoka Mabatini mkoani Pwani, Mpira ni mapumziko, Ashanti United wapo nyuma kwa bao 1-0 kutoka kwa wenyeji Ruvu Shooting.
..............................................

Kwa ujumla katika dakika 45 za kipindi cha kwanza, Timu zote zimecheza mpira mzuri, lakini beki ya Simba Sc haijatulia kwasababu inajichanganya mara kwa mara.

DAKIKA 45 ZA KIPINDI CHA KWANZA ZIMEMALIZIKA, SIMBA SC 0 VS 1 COASTAL UNION

Dakika ya 45 Coastal Union wanafunga bao la kuongoza kupitia kwa Hamadi Juma kwa baada ya mabeki wa Simba SC kujichanganya

Dakika ya 24, Haruna Chanongo anakosa bao la wazi

Dakika ya 23, Simba wanafanya mabadiliko, anatoka Henry Joseph anaingia Said Ndemla.

Dakika ya 6 kipindi cha kwanza hakuna bao kwa timu zote

Mpira umeanza hapa uwanja wa Taifa. 

SIMBA SC 0 VS 1 COASTAL UNION


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo