Mpira
umemalizika Simba Kuchapwa Bao 1 Dhidi ya Coastal Union Mpira Ulikuwa
wa Nguvu na wakushambuliana kwa Zamu.Coastal Union Walipata Goli Kipindi
cha kwanza baada ya Kutokea Piga Nikupige Katika Lango La Simba.Simba
waliingia Kipindi cha Pili kwa Kufanya mabadiliko walielekeza
Mashambulizi Kwenye Lango la Coastal Union lakini Hawakufanikiwa Kupata
Goli lolote Hadi Mwisho wa Mchezo Simba 0 Coastal Union 1
.................................................
Kutoka Mabatini mkoani Pwani, Mpira ni mapumziko, Ashanti United wapo nyuma kwa bao 1-0 kutoka kwa wenyeji Ruvu Shooting.
..............................................
Kwa ujumla katika dakika 45 za kipindi cha kwanza, Timu zote zimecheza mpira mzuri, lakini beki ya Simba Sc haijatulia kwasababu inajichanganya mara kwa mara.
DAKIKA 45 ZA KIPINDI CHA KWANZA ZIMEMALIZIKA, SIMBA SC 0 VS 1 COASTAL UNION
Dakika ya 45 Coastal Union wanafunga bao la kuongoza kupitia kwa Hamadi Juma kwa baada ya mabeki wa Simba SC kujichanganya
Dakika ya 24, Haruna Chanongo anakosa bao la wazi
.................................................
Kutoka Mabatini mkoani Pwani, Mpira ni mapumziko, Ashanti United wapo nyuma kwa bao 1-0 kutoka kwa wenyeji Ruvu Shooting.
..............................................
Kwa ujumla katika dakika 45 za kipindi cha kwanza, Timu zote zimecheza mpira mzuri, lakini beki ya Simba Sc haijatulia kwasababu inajichanganya mara kwa mara.
DAKIKA 45 ZA KIPINDI CHA KWANZA ZIMEMALIZIKA, SIMBA SC 0 VS 1 COASTAL UNION
Dakika ya 45 Coastal Union wanafunga bao la kuongoza kupitia kwa Hamadi Juma kwa baada ya mabeki wa Simba SC kujichanganya
Dakika ya 24, Haruna Chanongo anakosa bao la wazi
Dakika ya 23, Simba wanafanya mabadiliko, anatoka Henry Joseph anaingia Said Ndemla.
Dakika ya 6 kipindi cha kwanza hakuna bao kwa timu zote
Mpira umeanza hapa uwanja wa Taifa.
SIMBA SC 0 VS 1 COASTAL UNION