Baada ya pacha wake kufunga ndoa, hivi sasa ni zamu ya Paul Okoye
ambaye amefunga ndoa ya kimila na mchumba wake wa muda mrefu Anita
Isama.
Paul na Anita wana mtoto wa kiume na harusi yao imehudhuriwa na watu
kama Omotola, D Banj, Naeto C, Banky W, Ini Edo, Iyanya na wengine wengi.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye harusi hiyo.
