MLINGOTI WADONDOKA NA KUZIBA BARABARA IRINGA

DSC_0017_c91aa.png
Mwandishi wa Habari Kwanzajamii/mjengwablog Martha Magessa akiwa kwenye  Eneo la Tukio ambapo  Mti aina ya Mlingoti ulidondoka  katikati ya  Barabara  Itokayo Kalenga mjini Kuelekea Kijiji cha Wasa kilichopo Kata ya Maboga Tarafa ya Kiponzelo Mkoani Iringa.   
DSC_0021_3f3b5.png
Abilia wakisubiri wanakijiji kukata mti huo ili kuweza kuendelea na safari yao iliyoanzia  kijiji cha wasa kuelekea Iringa Mjini  baada ya kukuta Mti huo umendondoka jana usiku na kuziba njia na kuamua kusubiri masaa matatu kuwatafuta wanakijiji waweze kusaidia kukata  mti huo ili kuweza kuendelea na safari yao.
DSC_0023_0f9d6.png
Miti aina ya Mlingoti iliyopandwa pembezoni mwa Barabara itokayo kalenga Mjini Kuelekea Kijiji cha wasa kata ya Maboga Tarafa ya Kiponzelo Mkoani Iringa.
DSC_0007_22861.png
Abilia wakiendelea kusubiri kukatwa kwa mti huo ili wawezekupita na kuendelea na safari yao.
DSC_0011_45e47.png
Wanakijiji, abilia pamoja na Dreva wakishirikiana kukata Mti huo ili waweze kupita katika Eneo hilo.(Picha na Saidi Mnyalu via mjengwa blog)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo