![]() |
| Picha hii si ya tukio hilo. |
Ofisa wa Kikosi cha Usalama Barabarani amenusurika kifo baada ya
kumsimamisha dereva wa gari dogo jirani na kituo cha daladala cha Aga
Khan wakati akikagua gari hilo dereva akaliondoa kwa spidi huku trafiki
huyo akiwa juu ya boneti na kusababisha sintofahamu.
Baadaye dereva wa gari aliamua kusimama baada ya kuzuiliwa kwa mbele
na gari lingine kitendo kilichompa mwanya trafiki aliyeshuka na
kumshushia kichapo cha nguvu dereva huyo.
(Video: Matte Gallée/Global TV)
