BIBI ASHIKWA UCHAWI JIJINI DAR, VIJANA WAMBAKA KWA ZAMU NA KIPIGO JUU...!!!!!


mwanamke aliyejulikana kwa jina Mary Mbaga(70) anayeishi Kinondoni Shamba,jiji Dar-es-saaam amepata kipigo kikali kwa wananchi wakidai amekula nyama ya mtoto aliyekuwa amefariki dunia mwenye umri wa mwaka mmoja.
 
Baada ya kumpiga mtaani wakampeleka kwenye uwanja wa mpira uliopo karibu na tukio nakuanza kumbaka kwa zamu mpaka 12:00asubuhi aliokolewa na polisi wa doria huku mwili wake ukiwa umelowa damu!!!

     



SWALI KWA WADAU JE NI HAKI KWA HUYU BIBI KUBAKWA KWA ZAMU NA VIJANA HAO PIA NA KIPIGO JUU?JE NAO VIJANA WALIVYOKUWA WANAPEANA ZAMU YA UBAKAJI WALITUMIA KINGA? WADAU MAONI YENU PLEASE DUNIA KUELIMISHANA!!!
 
GPL


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo