WAFANYABIASHARA IRINGA NAO WAFUNGA MADUKA KUGOMEA MASHINE ZA TRA, ANGALIA PICHA


Baadhi ya maduka yakiwa yamefungwa eneo la Miyomboni mjini Iringa....
 WAFANYABISHARA wa maduka katika manispaa ya Iringa, mkoani hapa wamegoma kufungua maduka yao kwa lengo la  kupinga mashine za kutolea risiti za elektroniki (EFD.
 
Mwitikio imeshuhudia maduka yote kufungwa, huku baadhi ya wafanyabiashara wakijikusanya makundi na wengine kuzunguka huku na kule kuhamasisha, biashara zote zifungwe,  kwa madai kuwa  hawazitaki mashine hizo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo tozo la asimia 18.
 
chanzo:mwitikio 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo