Mhe.
Jaji Mkuu wa
Tanzania akiwa na Majaji wenzake wakipokea heshima ya gwaride katika
sherehe hizo katka viwanja vya Botanical Ocean road jijini Dar es salaam
leo asubuhi.
Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akiwaongoza Wahe. Majaji
wa Mahakama ya Tanzania katika Maandamano ya kuadhimisha Siku ya Sheria
nchini leo asubuhi katika viwanja vipya vya Mahakama vilivyopo Mtaa wa
Chimala karibu na Southern Sun Hotel.
Baadhi ya Watumishi wa Mahakama ya Tanzania wakiwa katika Sherehe za Siku ya Sheria nchini.
Jaji
Mkuu Mstaafu, Mhe. Augustine Ramadhan akiwa pamoja na Viongozi wengine
wastaafu wa Mahakama katika sherehe hizo zilizofanyika mapema leo
jijini Dar es Salaam na nchi nzima kwa ujumla.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
akilakiwa na Mwenyeji wake Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande
Othman mara alipowasili katika viwanja hivyo kama Mgeni Rasmi wa
Maadhimisho hayo.
Ukaguzi wa gwaride kuashiria uzinduzi rasmi wa Shughuli za Mahakama kwa mwaka 2014






