Kampuni zote zinazojishughulisha na ukamataji na ufungaji magari
yaliyoegeshwa kiholela zimepigwa marufuku kutokana na malalamiko mbali
mbali ya wananchi yakiwemo ya kuharibiwa magari,rushwa pamoja na
kampuni hizo kufanya kazi kinyume cha sheria.
UKAMATAJI NA UFUNGAJI WA TAIRI ZA MAGARI WAPIGWA MARUFUKU
By
Edmo Online
at
Wednesday, January 08, 2014