Pichani
ni Mwenyekiti wa chama cha Wasanii wa Filamu nchini a.k.a Bongo Muvi,
Steve Mengele ‘Nyerere’ akizungumza mara baada ya kuchagulia kushika
wadhifa huo wa uenyekiti,Steve alisema kuwa atahakikisha haki inatendeka
kwa kila msanii wa filamu,kuhakikisha kipato kinaongezeka katika tasnia
yao,kama vile haitoshi alieleza kuwa atakutana wasambazaji wote wa
filamu kuzungumza mikakati mbalimali ya kuhakikisha tasnia hiyo wasanii
wake wananufaika na kazi zao na kujiletea maendeleo yao na Taifa kwa
ujumla.Steve anashika nafasi hiyo ya Uenyekiti iliokuwa imeachwa wazi na
Msanii Vincent Kigosi a.k.a Ray.
MWENYEKITI WA BONGO MUVI STEVE NYERERE AWEKA WAZI MIKAKATI YAKE YA KAZI
By
Edmo Online
at
Sunday, January 05, 2014
