AJALI YA LORI MBARALI MBEYA

Gari aina ya scania lenye namba za usajili T 760 BBY limepata ajari leo asubuhi maeneo ya Igawa Wilaya ya Mbarali Mkoani mbeya lililokuwa linatoka zambia kuelekea dar es salam na kumwaga kopa zote ambazo lilikuwa limebeba na kwa bahati hamna aliyeumia wa kufa(picha na Saimeni Mgalula wa Eddy blog)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo