MCHUNGAJI wa Kanisa la Pentekoste aliyefahamika kwa jina la Bryson
Mwaikambo (55) anatuhumiwa kuwabaka na kuwaambukiza ugonjwa wa zinaa
wanafunzi wawili wa kike wanaosoma katika shule ya msingi ya Maendeleo
wa kata ya Nsalala wilaya ya Mbeya vijiji mkoani Mbeya.
Wanafunzi hao (majina yanahifadhiwa) wenye umri kati ya miaka 11 na 13 wanaosoma darasa la nne na darasa la sita walifanyiwa unyama huo kuanzia mwaka 2012 ambapo Mchungaji huyo alianza kujenga mazoea na watoto hao wadogo kwa kuwapa peremende pamoja na fedha....
‘“Tumejua tukio hili baada ya kutokea ugomvi baina yao wa kugombania maji na hivyo kuanza kurushiana maneno, mmoja wa watoto hao alikuja ofisini kushitaki kuhusu ugomvi wao ndipo mmoja akasema kuwa mwenzie anatembea na Mchungaji Mwaikambo,’’ alisema Mwalimu mkuu msaidizi Bi. Lucy Kamongile.... Bofya hapa kusoma habari hii kwenye blogu ya Mkwinda
Wanafunzi hao (majina yanahifadhiwa) wenye umri kati ya miaka 11 na 13 wanaosoma darasa la nne na darasa la sita walifanyiwa unyama huo kuanzia mwaka 2012 ambapo Mchungaji huyo alianza kujenga mazoea na watoto hao wadogo kwa kuwapa peremende pamoja na fedha....
‘“Tumejua tukio hili baada ya kutokea ugomvi baina yao wa kugombania maji na hivyo kuanza kurushiana maneno, mmoja wa watoto hao alikuja ofisini kushitaki kuhusu ugomvi wao ndipo mmoja akasema kuwa mwenzie anatembea na Mchungaji Mwaikambo,’’ alisema Mwalimu mkuu msaidizi Bi. Lucy Kamongile.... Bofya hapa kusoma habari hii kwenye blogu ya Mkwinda
