skip to main |
skip to sidebar
PICHA: MAKAHABA NA WATEJA WAO WALIOKAMATWA, WAKIWA MAHAKAMANI KWA AJILI YA KESI INAYOWAKABILI..!!

Wanawake
wanaodaiwa kufanyabiashara ya ukahaba wakiwa Mahakama ya Jiji la Dar es
Salaam, baada ya kukamatwa maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Kinondoni.
Oparesheni ya kuwakama wanawake hao inafanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa
Kinondoni. 
Vijana waliokamtwa wakidaiwa kukutwa wakifanya mapenzi na wanawake hao wakificha sura zao wasipigwe picha.(picha na bongonews blog)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi