NEWS ALERT: ANGETILE OSIAH APEWA LIKIZO MPAKA MKATABA WAKE UISHE NA TFF

LATEST: Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah (pichani) mpaka mkataba wake utakapomalizika Desemba na watamlipa stahili zake. 
 
Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi, kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile kuanzia leo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo