Gari ikiwa hoi baada ya kumgonga mwendesha bodaboda.
Ajali ya Mwendesha pikipiki akiwa amegongwa na gari eneo la mataa ya
Uhasibu, Kurasini jijini Dar, kutokea kwa ajali hiyo kulisababishwa na
mwendesha pikipiki alikatisha wakati askari wa barabarani akiongoza
magari yaliyokuwa yakitokea bandarini kuelekea Uwanja wa Taifa ndipo
bodaboda alipokatisha na kukutana uso kwa uso na gari aina ya Toyota
Passo ambayo ilimgonga na kwenda kuvaa taa ya kuongozea magari.
Mmiliki wa gari akiongea na wananchi waliofika eneo la tukio.
Mwendesha boda boda akiwa amepakizwa kwenye gari kuwahishwa hospitali
ya Temeke kwa matibabu. Picha zote na Imani Ntila wa Kajunason Blog.
Mwendesha boda boda akiwa amepakizwa kwenye gari kuwahishwa hospitali
ya Temeke kwa matibabu. Picha zote na Imani Ntila wa Kajunason Blog.