Naseeb Abdul aka Diamond Platinum kutoka WCB 'Wasafi Classic
Baby',leo Novemba 24 ametangaza nafasi za kazi kupitia mtandao wake wa
Instagram.
Kama wewe ni mpiga picha (Cameraperson), mhariri wa video (Editor) au
Graphic designer unaechapa kazi kwa kiwango kizuri na unahitaji
kazi, hili tangazo la C.E.O wa wasafi Classic linakuhusu.
"Je
unaishi Dar-es-Salaam..? Unakipaji, Uwezo na Elimu ya kupiga picha,
kushoot Video na kuedit...? NOTE:- 1)Uwe na Uwezo wa kutumia Camera zote
Old na za kisasa.... 2)Uwe na sample za kazi kadhaa ulizowai fanya...
(kushoot na Kuedit) 3)Quality ni kuanzia 1080 na kuendelea... 4)Age,
kuanzia Miaka 20 hadi 35.. 5)M'bunifu, Smart na uwe tayari kusafiri
popote saa yoyote... Kama unaamini unasifa hizo wasiliana nasi sasa kwa
email hii diamondplatnumz@gmail.com ama kwa namba ya simu
+255755700400.... Kumbuka, uwe unaisha Dar-es-Salaam...!"
