Yusuph Mushi ambaye ni kaka yake Snura (kushoto) enzi za uhai wake. Kulia ni Snura Mushi akiwa na simanzi.
Mwanamuziki Snura Mushi amefiwa na kaka yake aitwaye Joseph Mushi.
Kupitia akaunti yake ya Facebook, mkali huyo wa wimbo wa Majanga
ameandika maneno haya "R.I.P
my brother mbele yako nyuma yetu.
Msiba uko Mlandizi tunazika leo saa 10
jioni. Kaka Yusuph Mushi ni wa kwanza kuzaliwa kwa baba yangu mzee
Mushi."