MSAKO WA WATOTO WALIOTEKWA MKOANI PWANI UNAENDELEA

Polisi wa mikoa ya Pwani na Kinondoni wanaendesha msako na upelelezi kubaini ukweli wa taarifa za uwepo wa idadi kubwa ya watoto, wanaoshikiliwa mateka na kuteswa katika msitu mmoja huko Kibaha mkoa wa Pwani.

Msako huo unafanyika kufuatia taarifa zilizotolewa na watoto wawili wakazi wa Tabata Jijini Dar es Salaam ambao walipotea kwa muda mrefu na kupatikana mjini Kibaha, ambapo baada ya kupatikana walidai kuwepo kwa wenzao wanaoshikiliwa mateka na kuteswa msituni.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo