MMILIKI WA MTANDAO WA BOSS NGASSA ANUSURIKA KIFO KWENYE UGOMVI

siku ya jana tar 14/112013 majira ya sa 5 usiku nilinusurika kumwagwa utumbo na jamaa mmoja  ambaye anaitwa Dikson kanje baada ya kutofautiana kauli, ila namshukuru mungu naendelea salama na mtuhumiwa ameshikiliwa na jeshi la police:

Namshuru mungu madaktari walinipokea vizuri na kunipa huduma haraka iwezekanavyo kwa kunishona nyuzi 4:

maumivu yeke si mchezo.Mtandao wetu unatoa pole sana kwa boss ngasa na apate unafuu mapema.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo