Hiki ndicho kibatari ambacho kwa mujibu wa maelezo ya naibu waziri wa nishati na madini anayeshughulikia nishati Mh. George Simbachawene amesema wananchi ambao hawataweza kulipia gharama mpya za ongezeko la umeme wakitumie hiki hapa!
KWA MUJIBU WA WAZIRI SIMBACHAWENE, ASIYEWEZA KULIPIA ONGEZEKO LA GHARAMA ZA UMEME ATUMIE HII KITU HAPA..!!!!
By
Edmo Online
at
Tuesday, November 26, 2013
